Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Picha: Diamond amtambulisha msanii mpya Wasafi

Usiku wa kuamkia leo, rasmi msanii D Voice ametambulishwa kujiunga na lebo ya Wasafi Classic  inayoongozwa na Diamond Platnumz.

Pia ameachia albamu yake ya kwanza iitwayo ‘Swahili Kid’ ambayo inangoma 10 na amefanya kolabo na wasanii kutoka WCB ambao ni Diamond Platnumz, Zuchu, Mbosoo na Lava Lava.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *