Dada yake na Celine Dion, Claudette Dion, ametoa taarifa za kukatisha tamaa kwa mashabiki wa Celine Dion kutokana na maradhi aliyonayo.
![](https://jambofm.co.tz/wp-content/uploads/2023/12/celine-dion-intro-slide-1-jpg.webp)
Claudette amesema kuwa staa huyo kwa sasa anakumbwa na matatizo ya misuli kama kukakamaa Dada huyo amesema hayo katika mahojiano na 7 Jours.
Ila utakumbuka mwezi Agosti katika mahojiano na Le Journal de Montréal, aliwatia moyo mashabiki na familia juu ya hali ya kiafya ya nduguye ambaye ana ugonjwa huo ambao a hautibiki na kusisitiza wataendela kusaka tiba..