Simba SC waondolewa AFL

Klabu ya soka ya Simba SC, imeondolewa kwenye mashindano ya African Football League kwa kukubali goli moja la ugenini dhidi ya Al Ahly, na kufanya mchezo huo kuisha kwa Agg: 3-3.




Tarehe 20, mwezi huu Simba ilikutana na Al Ahly kwenye dimba la Mkapa kwenye ufunguzi wa ligi hiyo na kufanikiwa kuondoka na goli mbili kwa mbili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *