Msanii wa vichekesho, Umar Iahbedi Issa maarufu ‘Mzee wa Mjegeje’ amefariki dunia leo alfajiri katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.
Meneja wa msanii huyo, Real Jimmy amethibitisha taarifa hizo.
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz