Msanii wa vichekesho, Umar Iahbedi Issa maarufu ‘Mzee wa Mjegeje’ amefariki dunia leo alfajiri katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.
![](https://jambofm.co.tz/wp-content/uploads/2024/03/Snapinsta.app_266662931_1070521627066269_6005119017611528525_n_1080-887x1024.webp)
Meneja wa msanii huyo, Real Jimmy amethibitisha taarifa hizo.
Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 677 644 444
info@jambofm.co.tz