Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

VIDEO: Mafuriko Shinyanga, Nyumba zaidi ya 60 zaanguka

Ikiwa ni siku ya pili tangu mvua kubwa iliyonyesha na kuacha nyumba zaidi ya 60 zikiwa zimeanguka bado wakazi vijiji vya Ibanza mkoani Shinyanga hawana uhakika wa chanzo cha maji safi na salama ya kunywa, kutokana na kisima chao kufunikwa na maji ya mafuriko.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *