90% ya maisha ya mastaa Bongo ni uongo

Kupitia Instastory yake Rapa Nay wa mitego amewataka mashabiki wa wasanii kutotamani maisha ya mastaa wao kwani 90% ya maisha yao mitandaoni ni maigizti tu!

Vipi unakubaliana na Rais wa Kitaa?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *