Robertinho aondolewa Simba SC

Klabu ya Simba imemtangaza rasmi leo kumalizana na kocha wake Mbarazil, Roberto Oliveira (Robertinho).

Kocha huyo alijiunga na wekundu wa Msimbazi mnamo Jaruari 3, mwaka huu akitokea Vipers ya nchini Uganda

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *