Klabu ya Simba imemtangaza rasmi leo kumalizana na kocha wake Mbarazil, Roberto Oliveira (Robertinho).
Kocha huyo alijiunga na wekundu wa Msimbazi mnamo Jaruari 3, mwaka huu akitokea Vipers ya nchini Uganda

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz