Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Mshika rekodi ya dunia mbio za marathon Kelvin Kiptum, amefariki dunia

Mshika rekodi ya dunia ya mbio za marathon za wanaume, Mkenya Kelvin Kiptum, 24, amefariki dunia katika ajali ya barabarani siku ya jana jumapili Februari 12.

Kelvin amefariki pamoja na kocha wake, Gervais Hakizimana wa Rwanda, ambaye alikuwa nayekwenye gari . Ajali hiyo imetokea magharibi mwa Kenya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *