Usiku wa kuamkia leo CEO wa NextlevelMusic Rayvanny amemkabidhi zawadi ya aina ya Crown Meneja wake Sumbebaba
Baada ya Meneja kupewa gari hilo ndipo akaanza kuangua kilio.
Zoezi la kutoa zawadi hilo limefanyika kwenye Ofisi za lebo hiyo maeneo ya Mbezi beach Dar es Salaam