Koffi Olomide ametangaza kuwania kiti cha Useneta

Mwanamuziki mkongwe Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Koffi Olomide ametangaza nia yake ya kujitosa katika siasa na anakusudia kuwania kiti cha useneta kwenye jimbo la Sud-Ubangi, kaskazini magharibi mwa Kongo.

Koffi Olomide alichaguliwa na Rais Felix Tshisekedi mwaka 2022 kuwa Balozi wa utamaduni wa Kongo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *