Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

“Jonathan alijibu kwa jeuri, Grace alianza ugomvi”- Shahidi

Dereva wa gari la abiria aliyekuwa akiwaendesha Jonathan Majors ambaye ni muigizaji wa filamu  na aliyekuwa mpenzi wake Grace Jabbari ametoa ushahidi wake hapo jana Mahakamani.

“Majors alijibu kwa jeuri wakati Jabbari aliponyakua simu yake kutoka kwenye mkono wake baada ya kuona ujumbe kutoka kwa mwanamke mwingine walipokuwa wameketi kwenye kiti cha nyuma cha gari, na hivyo Grace akaanza kumshambulia mwenzake” ameeleza shahidi huyo.

 Hata hivyo Grace anadai alifanya hivyo baada ya kuona ujumbe tata kutoka kwa mwanamke ambaye alimwandikia  mpenzi wake ““Laiti ningekuwa  karibu ningekubusu.” 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *