Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Dulla Makabila hajashtakiwa na Haji Manara

Kwa mujibu wa Mwanasheri wa Dulla Makabila Davis Ngonyani amejibu kuwa mteja wake hajashtakiwa na Haji Manara kama ambavyo inaelezwa mtandaoni bali ameitwa hapo polisi Osterbay kuweka mambo sawa kuhusu ngoma yake ya #Furahi

Naye pia Dulla amefunguka kuwa wimbo wake wa Fuhari ndio chanzo cha kuitwa hapo kwani unaonekana unamlenga mtu fulani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *