Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Dkt Feki akamatwa Kenya, amefanya kazi hiyo miaka 16

Baraza la Madaktari na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDC) limemfutia usajili Bw David Nyawade Onyango, ambaye amekuwa akijifanya daktari kumbe ni Daktari feki ambaye hana taaluma ya kuhudumu kwenye hopsitali.

Nyawade amefanya kazi ya Udaktari kwa miaka 16 katika sekta hiyo.

Hatua hiyo imekuja huku kukiwa na msako mkali dhidi ya watu wanaojifanya wataalam wa afya kumbe hawana utaalumu wa mambo hayo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *