Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Otile Brwon amkataa Diamond Platnumz, asema sio wa Kimataifa

Katika mahojiano aliyofanya Oga Obina TV ya nchini Kenya ,Staa wa muziki kutoka nchini humo Otile Brown amesema Ukanda wa Afrika Mashariki hakuna msanii wa Kimataifa

Otile amesisitiza hilo licha ya mtangazaji kumtaja Diamond Platnumz, lakini mkali huyo wa R&B aliishia kumtolea mfano msanii wa Nigeria, Ruger jinsi alivyopambana na kuweza kupenya kimataifa ndani ya muda mfupi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *