Msafara wa Katibu wa NEC itikadi uenezi na mafunzo wa CCM Paul Makonda umepata ajali katika eneo la Masasi mkoani Mtwara, majira ya saa 9 alasiri imehusisha zaidi ya magari 7 yaliyokuwepo katika msafara wa muenezi uliokuwa unatoka mkoani Ruvuma kuelekea jijini Dar es salaam
Ambapo watu wapatao Zaidi ya watano wamejeruhiwa na kukimbizwa katika hospital ya mkoa wa Mtwara na huku kukiwa hakuna kifo chochote.
Na hali ya kiafya ya Katibu wa Nec itikadi uenezi na mafunzo wa Ccm Paul Makonda ipo salama.