Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Wakali wa wiki hii kwenye Bongo Flava walioteka YouTube.

Hii ni Ijumaa ya kwanza ya Mwezi Agosti ambapo Jambo FM tunakupa orodha ya video tano za muziki wa Bongo, ambazo zimeshika nafasi ya juu zadi.

Namba 1: Zuchu – Honey

Video ya ngoma hii ina watazamaji wapatao Milioni 2.3 ndani ya siku saba, na ipo namba 1 on Trending for music.

Namba 2: Alikiba – Mnyama

Hii ni ngoma kwaajili ya klabu ya Simba SC, imetoka siku mbili zilizopita na ina watazamaji laki 628, ipo namba 2 on Trending for music.

Namba 3: Jux Ft Diamond Platnumz – Enjoy  

Hii ni audio/sauti  na yenyewe inawasikilizaji Milioni 8 na inawiki 2/3 hivi tangu imetoka  ipo nafasi ya 3 on Trending for music.

Namba 4: Harmonize – Tena.

Video ya ngoma hii ina siku tatu tangu ilipotoka na ina watazamaji laki 656. Audio imetayarishwa na B BOY BEATS huku ikiwa namba 5 on Trending for music.

Namba 5: Marioo Feat. AliKiba – Love Song.

Hii ni mistari tu ambayo imefanywa kuwa video na imepata kuwa nafasi ya 6 on Trending for music huku ikiwa na watazmaji/wasikilizaji laki 507.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *