Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

VIDEO: Ndugu wanashiriki malezi ya wazee wao?

Mkoa wa Shinyanga ni miongoni mwa mikoa iliyo na makazi ya kulelea wazee yaliyoanzishwa mwaka 1975 yanayopatikana Kolandoto katika Halmshauri ya Manispaa ya Shinyanga mahali ambapo Jambo Fm imefika ili kujua hali halisi ya ndugu pamoja na jamii kwa ujumla katika matunzo ya wazee 18 wanaoishi na kuhudumiwa na serikali katika makazi hayo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *