Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Serikali imetoa siku 14 kuondolewa kwa namba za 3D kwenye magari

Serikali imetoa siku 14 kuondolewa kwa namba za Magari zilizoongezwa ukubwa (3D), kwenye Magari yote yasiyoruhusiwa kuwekwa, namba zenye vibao vyeusi na zinazotumia namba za chasis, taa na stika ambazo zimeongezwa kwa matakwa ya wamiliki au madereva

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Jumanne Sagini amesema namba hizo hazitengenezwi na Wakala aliyepata kibali kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na pia herufi hizo zina ugumu wa kusomeka katika umbali usiopungua Mita 100

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *