Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Rema aitosa shoo ya Dreamville, asepa akiwa jukwaani

Wakati J.Cole anaomba radhi kwa Kendrick Lamar, mkali wa Afro Beat kutoka Nigeria Rema aliamua kususia tamasha la Dreamville la 2024 ambalo limefanyika huko North Carolina siku ya jana Jumapili baada ya kuchukizwa udhaifu wa sauti(Sound) hivyo akaamua kuondoka jukwaani.

Rema alisepa wakati akianza kuimba wimbo wake wa Calm Down.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *