Kibu Denis, Mgeni rasmi mchezo wa Derby ya Kariakoo

Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally, ametangaza kuwa, Mgeni rasmi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo utakao zikutanisha Simba na Yanga siku ya Jumapili Novemba 5, 2023 atakuwa, Mshambuliaji wao Kibu Denis Prosper.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *