Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Basi la Yanga walilopewa na Mamelodi, la waharibika Njiani

Timu ya Yanga SC, ikiwa nchini Afrika Kuisni inakutana na changamoto ya usafiri baada ya usafiri wa timu hiyo uliotolewa na wenyeji Mamelodi Sundowns kuharibika umbali wa kilomita 5 tu kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa OR Tambo.

Hata hivyo baadae walifanikiwa kupata basi lingine na liliwabeba .

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *