Staa wa muziki H Baba amepoteza fahamu(Kuzimia) baada ya kumaliza kusomewa dua ya kumtaka mwaka 2024 aache kuwa chawa (Mpambe) na badala yake afanye kazi kwa bidii.
Dua hiyo imesoma kwao Mwanza (Jana) akiwa na watu kadhaa akiwemo rapa Fid Q.
Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
Staa wa muziki H Baba amepoteza fahamu(Kuzimia) baada ya kumaliza kusomewa dua ya kumtaka mwaka 2024 aache kuwa chawa (Mpambe) na badala yake afanye kazi kwa bidii.
Dua hiyo imesoma kwao Mwanza (Jana) akiwa na watu kadhaa akiwemo rapa Fid Q.
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz