Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa amefariki Dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, jijini Dar Es Salaam.

Taarifa ya kifo chake kimetangazwa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango.
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz