Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Diamond aiwazia mema Tanzania Tuzo za Grammy

Ifikapo Novemba 10 mwaka huu waandaji wa tuzo za Grammy wanatarajia kutaja orodha ya majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo.

Na staa wa muziki kutoka Tanzania, Diamond Platnumz anaamini kuwa ipo siku Tanzania itaingia kuwania tuzo hizo kubwa Duniani na pia ipo siku mtanzania ataondoka na tuzo hizo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *