Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Jux aingia familia ya wafuasi wengi TZ

Staa wa muziki, Jux anaingia kwenye familia ya wasanii wa Bongo, wenye subscribe/wafuasi milioni moja.

Jux anaungana na wasanii kama Alikiba, Diamond Platnumz Harmonize Zuchu Nandy Rayvanny Mbosso Marioo, Aslay n.k ambao nao wanaidadi ya wafuasi kama hao.

Haya ni miongoni mwa mafanikio makubwa kwa staa huyo kwa mwaka huu tangu atoe ngoma ya Enjoy ambayo amefanya na Diamond Platnumz .Kwani pia mwaka huu amepata shavu la kutumbuiza kwenye tuzo za Trace Awards zilizofanyika nchini Rwanda mwezi uliopita.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *