Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally, ametangaza kuwa, Mgeni rasmi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo utakao zikutanisha Simba na Yanga siku ya Jumapili Novemba 5, 2023 atakuwa, Mshambuliaji wao Kibu Denis Prosper.

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz