Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

VIDEO: RC Shinyanga abaini Kaya 142 hazina vyoo

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme18 Mndeme amebaini uwepo wa kaya 142 kati ya kaya 1852 zenye wakazi wapatao 11,173 zisizokuwa na vyoo katika kata ya Idukilo katika halmashauri ya wilaya wa Kishapu kata ambayo ni chimbuko la ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *