VIDEO: Harmonize aikagua nyumba mpya ya Mwijaku

Usiku wa kuamkia jana staa wa muziki Harmonize alikuwa miongoni mwa mastaa waliofika katika uzinduzi wa nyumba mpya ya mwanamitandao Mwijaku.

Harmonize alifika nyumbani kwa Mwijaku, Kigamboni akiwa na timu yake ya Konde Gang.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *