Simba wanafanikiwa kuondoka na point 3 na goli mbili zilizofungwa na Jean Baleke na Moses Phiri. Na Ihefu wakiondoka na goli moja lililofungwa na Ismail Mgunda

Mchezo huu wa Ligi kuu umechezwa Uwanja wa Mkapa Dar Es Salaam.
Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz