Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Rayvanny kumuimbisha Iyanya Kiswahili? Waingia studio

Miaka 8-9 iliyopita staa wa muziki Diamond Platnumz aliimba na Iyanya ngoma mbili ambapo walitumia lugha ya kiswahili na this time Rayvanny ameingia studio na msanii huyo na wanarekodi kazi.

Rayvanny ambaye kwa sasa yupo nchini Uingereza akifanya kazi zake za muziki, ameweka picha kadhaa kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa studio na msanii huyo pamoja na watu wengine wakiwa wanarekodi kazi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *