Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Cheni ya Davido sawa na gari ya Diamond ‘Rolls-Royce ‘

Saa kadha ziilzopita staa wa muziki kutoka Nigeria, @davido ameshusha chuma/cheni mpya ambayo itakaa kwenye shingo yake na imetajwa kuwa na thamani ya Naira Milioni 577 sawa na Bilioni 1.86 za Kibongo,

Sifa za cheni hiyo ambayo imetengenezwa na Local Kettle Brothers UK Jewelers ina almasi ya 350ct, yenye uzito wa kilo 1.5. Unaambiwa hii kajizawadia tu kwa kuwa Albamu yake ya Timeless imefanya vizuri.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *