Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Simi anamajibu kwa wasiokata kusikiliza nyimbo zake

Staa wa muziki kutoka Nigeria, Simi, amewajibu mashabiki wanaomtaka abadili mtstaili yake ya muziki.

Simi amekutana na hali hiyo katika ukurasa wake wa X baada ya kushare video yake akiimba moja ya nyimbo zake mpya na  ndipo shabiki mmoja aliandika kumtaka “kubadilisha” sauti yake na ndipo mkali huyo wa ;’Duduke’.

Shabiki aitwaye @Zeebaby_X aliandika, “Girlll ibadilishe kidogo… badilisha sauti yako.”Mume wako anabadilisha sauti yake na inashangaza kuona. Fanya vivyo hivyo wewe ni mzuri sana kufanya mambo ya msingi.”

Simi akajibu ” Kama sauti yangu haivutii basi unaweza kusikiliza nyimbo zingine.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *