Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Wanaosoma magazeti kwa mbwebwe kuchukuliwa hatua

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itawachukulia hatua baadhi ya watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe huku wakiongezea baadhi ya vitu wakati wa usomaji amesema Meneja Huduma za Utangazaji, Andrew Kisaka katika mkutano wa mwaka wa vyombo vya utangazaji nchini.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *