Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Katekista ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kuua

Aliyekuwa Katekista wa Kanisa Katoliki Makambako, Daniel Philipo Mwelango (43) amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kosa la mauaji.

Daniel alitenda tukio hilo Februari 8, 2022 kwa kumuua Daniel Elias Myamba (43) ambapo alifanya maandalizi kwa kuandaa Panga, Chuma na Mifuko ya kuzuia Damu isisambae na mingine ya kuhifadhi Mwili wa marehemu.

Mshtakiwa alimuua Daniel aliyekuwa Katibu wa Halmashauri ya Walei kwa kumpiga na chuma kwenye Kisogo, alipofariki akamkata vipande viwili na kuvipakia katika Mifuko, akashindwa kuubeba Mwili, akaamua kutoroka kuelekea Dar es Salaam.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *