Zuchu anaumwa!!

Staa wa muziki kutoka Lebo ya WCB,Zuchu ameweka wazi kuwa kwa sasa anapitia changamto ya kiafya kwa kupata maradhi.

Zuchu ametoa taarifa hiyo katika ukurasa wake wa mitandao wa kijamii wa Instagram, ila hajabainisha nini hasa kinamsumbua.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *