Msanii wa muziki kutoka lebo ya WCB, Zuchu amefuta picha zote katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram

Zuchu amefanya maamuzi hay oleo Machi 13,2024 tukiwa chungu cha pili katika mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.

P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz