Zari aolewa kwa mara nyingine!!

Mfanyabiashara na mwanamitandao Zarina Hassan, maarufu kama Zari The Boss Lady amefunga ndoa na mpenzi wake Shakib Cham, usiku wa kuamkia leo.

Wawili hao wamefunga ndoa ambayo imeudhuriwa na watu wao wa karibu ikiwemo baadhi ya washiriki wa Young African and Famous kama vile Fantana

Hii ni ndo aya pili kwa Zari ambaye aliolewa 2011 na marehemu Ivan Semwanga ambaye alifariki Mei 27,2017.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *