YANGA YASHINDWA KUTINGA ROBO FAINALI

Klabu ya Soka ya Yanga imetolewa kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kutoka sare dhidi ya MC Alger, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Ili kusonga mbele katika hatua ya robo fainali, Yanga SC ilihitaji alama tatu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *