Timu ya Dar Young Africans (Yanga) imethibitisha kumsajili mchezaji Jonathan Ikangalombo Raia wa Kongo DR aliyekua akichezea Klabu ya AS Vita.
Ikangalombo kwenye timu aliyotoka anaonekana kumudu zaidi nafasi ya Winga na Mshambuliaji wa kati.
Timu ya Dar Young Africans (Yanga) imethibitisha kumsajili mchezaji Jonathan Ikangalombo Raia wa Kongo DR aliyekua akichezea Klabu ya AS Vita.
Ikangalombo kwenye timu aliyotoka anaonekana kumudu zaidi nafasi ya Winga na Mshambuliaji wa kati.
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz