Yanga wanarudi Dar

Kikosi cha Yanga kinatarajia kutumia Kilometa  356 ambayo ni sawa na masaa sita (6) kufika Jijini Dar Es Salaam. Kikosi hicho kimeondoka leo kutoka Tanga na sasa wanarejea Dar Es Salaam wakijandaa na Ligi Kuu inayoanza hivi karibuni na mchezo wao wa kwanza utakuwa dhidi ya KMC Agosti 23.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *