Yanga waichakaza Singida FG

Klabu ya soka ya Yanga leo Oktoba 27 imekamilisha Dakika 90 kwenye dimba la Mkapa kwa kuondoka na Point 3 muhimu dhidi ya Singida FG kwa ushindi wa goli mbili zilizofungwa na Max dakika ya 30 na 39.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *