VIDEO: Rais Samia awafariji wahanga Hanang

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametembelea wahanga wa mafuriko katika Mji wa Katesh Wilaya ya Hanang Mkoa wa Manyara ambao wamelazwa katika Hopistali ya Tumaini, wakipatiwa matibabu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *