Rais mpya wa Liberia, Joseph Boakai (79) Jana Januari 22, 2024 alishindwa kumalizia hotuba yake wakati wa sherehe za kuapishwa na kulazimika kuondolewa jukwaani na wasaidizi wake.
Rais mpya wa Liberia, Joseph Boakai (79) Jana Januari 22, 2024 alishindwa kumalizia hotuba yake wakati wa sherehe za kuapishwa na kulazimika kuondolewa jukwaani na wasaidizi wake.