TIMU NNE ZA AFRIKA KIKAANGONI KUFUZU WORLD CUP

Ni rasmi sasa Timu nne za Afrika zilizoboronga zitaingia katika hatua ya mtoano, ili kufuzu hatua ya mashindano ya Kombe la Dunia.

Timu hizo ni ๐‚๐š๐ฆ๐ž๐ซ๐จ๐จ๐ง, Nigeria, ๐ƒ๐‘ ๐‚๐จ๐ง๐ o na ๐†๐š๐›๐จ๐ง, ambapo timu mojawapo itaungana na mataifa mengine nane yaliyokwisha kukata tiketi rasmi.

Mataifa hayo ni -
1.Ivory coast ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ช
2.Senegal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ
3.Egypt ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
4.Tunisia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท
5.South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
6.Cape Verde ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ป
7.Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
8.Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF), linaeleza kuwa viwango vya hivi punde vya FIFA (kutoka Okt 23) vitaamua mechi hizo, ambapo Nigeria huenda ikaikabili Gabon na Cameroon dhidi ya DR Congo.

Mechi za mchujo zitafanyika nchini Morocco Novemba 2025 kama mechi moja. ambapo washindi watakutana katika fainali, huku bingwa akisonga mbele kwa kufuzu kwa Kombe la Dunia.

Je? Unaona ni timu ya Taifa lipi itapenya na kutinga katika mashindano ya Kombe la Dunia?
Cameroon ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ
Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ
DRC ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
Gabon ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฆ

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *