Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

The Mafik wanarudi kivingine

Kundi la muziki kutoka hapa Tanzania The Mafik ambalo lilikuwa linaundwa na wasanii watatu( Hamadi, Rhino King na Marehemu Mbalamwezi) linarudi tena likiwa na memba wapatao wanne baada ya ukimya wa muda mrefu.

Kundi hilo linatarajia kuachia kazi yao mpya mwezi huu Novemba 28 , huku tetesi zikiwa msanii Mick Singer yupo ndani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *