Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

TFF wapeleka ‘sofa’ kwa Mkapa

Kuelekea uzinduzi wa AFL 2023, muda huu katika uwanja wa Benjamin Mkapa kumewekwa viti vipya kwaajili ya Mabenchi ya Timu na Maofisa wa mchezo.

Viti hivyo ni vya kisasa yaliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika mchango wake wa marekebisho ya awamu ya kwanza uwanja wa Benjamin Mkapa.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *