Kuelekea uzinduzi wa AFL 2023, muda huu katika uwanja wa Benjamin Mkapa kumewekwa viti vipya kwaajili ya Mabenchi ya Timu na Maofisa wa mchezo.
![](https://jambofm.co.tz/wp-content/uploads/2023/10/Snapinsta.app_393403755_18397470115047601_3504130841577425760_n_1080-1024x683.webp)
Viti hivyo ni vya kisasa yaliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika mchango wake wa marekebisho ya awamu ya kwanza uwanja wa Benjamin Mkapa.
![](https://jambofm.co.tz/wp-content/uploads/2023/10/Snapinsta.app_393362504_18397470118047601_7257197013728284736_n_1080-1024x683.webp)