Timu ya Soka ya Tanzania, Taifa Stas imefanikiwa kuondoka na point 3, dhidi ya Niger kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026.

Goli la Stars limefungwa na Charlse M’mombwa, dakika ya 56 ya kipindi cha Pili.


Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
Timu ya Soka ya Tanzania, Taifa Stas imefanikiwa kuondoka na point 3, dhidi ya Niger kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026.
Goli la Stars limefungwa na Charlse M’mombwa, dakika ya 56 ya kipindi cha Pili.
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 677 644 444
info@jambofm.co.tz