Stars wabeba point 3

Timu ya Soka ya Tanzania, Taifa Stas imefanikiwa kuondoka na point 3, dhidi ya Niger kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026.

Goli la Stars limefungwa na Charlse M’mombwa, dakika ya 56 ya kipindi cha Pili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *