Staa wa Sauti Sol amvuta ‘Konde Boy’

Kupitia Instastory yake, Harmonize ameweka wazi wiki hii amefanya kitu kizuri na staa wa muziki kutoka Kenya anayewakilisha Sauti Sol, Savarana. Harmonize ameshare picha akiwa studio na staa huyo na wamefanya kolabo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *