Klabu ya Soka ya Azam FC imethibitisha kupokea ofa kutoka vilabu viwili tofauti vikimhitaji Mchezaji wa timu hiyo Price Dube ambaye ni raiwa wa Zimbabwe.

Vilabu hivyo ni Simba SC ya Tanzania na Al Hilal ya Sudan.

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz