Sigara bwege ndio chanzo

Staa wa muziki kutoka Nigeria, Burna Boy, ameweka wazi kuwa hivi karibuni alikataa ofa ya dola milioni 5 kwenda kutumbuiza Dubai, Falme za Kiarabu (UAE), kwa kuwa sheria za taifa hilo zisingemruhusu kutumia sigara kubwa/bwege akiwa huko.

Kumbuka hapa nyumbani Tanzania, pia ni marufuku kutumia sigara kubwa/bwege kwani ni Dawa za kulevya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *